iqna

IQNA

umoja wa waislamu
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Tajikistan amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja katika ulimwengu wa Kiislamu ili kuiokoa Palestina kutokana na ukandamizaji na kukaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3478277    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/30

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Madagaska amesisitiza haja ya kuzingatia nukta za pamoja kwa ajili ya kujenga umoja kati ya Waislamu.
Habari ID: 3477695    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/07

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya na kuwa na ushawishi baina ya Waislamu na hivyo kuudhibiti Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3477660    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27

Umoja wa Waislamu
BERLIN (IQNA) - Balozi wa Iran nchini Ujerumani na Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha al-Azhar ncini Misri walikutana mjini Berlin kujadili masuala muhimu yanayoukabili ulimwengu wa Kiislamu na jinsi ya kustawisha umoja na mshikamano kati ya Waislamu.
Habari ID: 3477590    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/12

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ulimwengu wa Kiislamu ambao una umoja na mshikamano ndicho kizingiti kikubwa zaidi kwa ubeberu wa dunia.
Habari ID: 3477530    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/01

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umekaribisha wito wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri wa kuimarisha umoja kati ya Waislamu ndani ya mfumo wa kanuni za Kiislamu.
Habari ID: 3476058    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi kwa mara nyingine tena
Habari ID: 3475791    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Mwanazuoni wa Ahul Sunna nchini Iran
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni mwandamizi wa Kisunni nchini Iran na mjumbe wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu yanaweza kutatuliwa kwa umoja.
Habari ID: 3475419    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24